MS Tanzania for Android
Huwezi ukaweka app uipromote free then unalipia, Pia ku hack ni kosa, app weka free mtu ajaribu akiridhika alipie, unadhan app za maana walianza hivyo?
yan walotengeneza hii app ni wezi na hawana akiki.. yan nimeandika jina instead of namba ya simu na inanambia imefanikiwa kihack.. ???? et soft swap? soft swap jina??? very stupid, na et tuma elf36! kwa kuhack jina?
yan app zote za kulipia hua tunapewa one month free.af hii yenu damn.kama nene ifuten au muifanye n family apps .
Hii ni free ktk promotion lkn cio free kutumia, alafu mnatakiwa jifunza kwa wenzenu, toa one month free testing then ndo alipie akiridhika, lkn huu ni wizi, nonsense....
Wekeni offer kwanza pia it's so expensive...hamuezi kupata pesa kiivyo mlivyo panga...chamsingi kaeni chini mufikilie vipi jinsi ya kupata wateja. Niwachache wanaoweza kulipia tsh 36000...kueni wajanja kama Azam tv unacheki kwa muda baada ya hapo wanakuzuilia baadhi ya channels
36000 hujui ata app yenyewe kam inafany kaz properly nahc ka ni ujanja 2 jarbun kutoa ofa kwnz cy mapem 2 malpo
jaman hawa wez naomben watanzania wenzangu mm nimejaribu na nimelipia wameniblock baada ya hapo kwanza viwango vya kulipia tofauti wengine 36 35 mimi 45 hawa nimatapel jaman msitume
Nimeipa 5 star kwa ujinga mlio uweka wekeni hata jarbio la Saa moja tu,,ili nipate mzuka Wa kulipia vingnevyo itakuwa kaz bure tu,,
Hii apps imekaa kitapeli sana tyu huwezi ukanichaji pesa na wakat xinajua hata utam wake mbona hata ving'amuz wanatoaga mwez bure alafu baada ya hapo wanakata chaneli zao ndipo uanze kulipia.
Unajua nyinyi ni wajinga sana ee?? Wajinga ninyi? Waiziiiiiiii, waiziiiiiii, na ntamwambia mwagufuli mnaiba, mmekosa swaga nyie, yaani tusiwajue, hakuna cha tgo pesa walq m pesa hapa, labda kama mnataka TTCL pesa
Daaaaaaaah!!! Iko njema sana lakin mengi yashaongelewa tunaongezea tu kwa nini msiweke japo ahueni wa hii kitu ukizingati hali ya sasa yenyew inajieleza haswaaaa,tuite hii app ya kitajili au sioo
Mjifunze waliowatangulia. Haiwezekani uka improvise app af hutoi japo mda wa majaribio! Msikatae kuitwa wezi. Toeni japo siku 1 ya majaribio japo wenzenu huto hadi mwezi mzima kwa majaribio
Wekeni hata wiki moja tu ya majaribio afu ndo tuanze kuilipia, huwezi kulipia kitu hujaona kwa mtu wala kujionea mwenyewe kama kinafanya kazi hata siku moja aisee
Hahhaha nyie wezi kweli mutakaowapata hapa labda nyamiwivu .funia hii watu sio wajinga kiivyo
Nawapongeza sana kwa kufanya jaribio la wizi kiakili zaidi ila bado hamumpati mtu kwa style hiyo. Tafuteni njia nyinginena hii app yenu muipoteze kabisa kabla hakijanuka dadeki..!!!
Mmekosa kazi ya kufanya mnazani kuna watoto wadogo umu si ndio??'!??' Leteni na nyengine 50 kama izo hamtapata ata sh 100...ushamba tu TZ Mnatutia aibu em revukeni kidogo msiwe mazumbukuku kiasi hiki...
Hakuna hata muda wa majaribio nitajuaje kama n kwel utapeli mtupu
Jalibun kuwa wawaz kama kitu kinawezekana bas watu wanunue bando watumie Co swala la kutuma pesa ndo ujiunge duuuuu..
Waizi nyie, sasa mtu atajuaje kama program inafanya kaz? Jifunzeni hata kwa wazungu wanakupa kwanza trial either mwez mmoja au miwili kutumia ikiisha kabla hujalipa wanakufungia. Sasa mi nikupe hela kama ni tapeli je
Daàaaah....sijawai ona unaambiwa ulipie ikiwa hujajua hata ufanyaji kaz wake, kweli hawa matapeli 36000/= Tz hillings palefu halafu unauziwa mbuzi kwenye gunia,kwa mimi nnavyojua zipo application zinazolipiwa lkn waliziwacha kwanza watu wazitumie bure ili wazihakiki ubora wake jinsi zinavyofanya kazi kwa ufasaha then watu wakishazikubali ndio wanaziingiza katika kulipia,sasa hawa jamaa hata watu hawajajua ufanyaji kazi wake wanataka hela hii sijapata ona.
Yan hamna hata offer kidogo ili tujue utendaji kazi wake mnataka 36elfu go to hell
Wezi nyie.... Ushawah kuona wap mtu analipia bila ku try...
Yani nyie mmekurupuka lazima muanze na offer alafu ndomje Ku charge otherwise autapata kitu apa
Yaan pressure nipate mm halafu niwape na hela juu elf36 mfuuuuuuuuuuuuu
Wekeni trial version, embu niajirini kama marketing manager, coz huyo mliyenaye ni kizibo
Thieves i dont know how you can show yourselves to public,, shame on you its better you go to farm
It doesn't even differentiate numbers with words. If you type a word it can hack too.
Mbona hamjibu maoni ya watu. Au mmekubali kua mnataka kufanya utapeli. Wengi tupo tayali kuitumia ila tatizo uhakika wa ufanyaji kazi. Toeni hata siku 2 ili mtu ajiridhishe hata akitoa hela anakua hana wasi wasi 45000 nihela ndogo sana ila ukiitoa bila malengo nikubwa sana.
Hakuna validation kwenye form yenu ya namba. String yoyote mfano uy imeruhusiwa, je Nazo ni namba. Fanyeni validation itakuwa kazi sana MTU kulipa wakati anaona haiperform properly. Pia mgetoa muda wa testing kubaina makosa.
Xo that when one is paying his or her money 2' besure of wat he,s doing
Hiyo namba mliyoweka hapo mkasema ni ya wasap kwanza haijaungwa, yote ni kuonyesha ni jinsi gan mnataka kuwaibia watu
Ni I download kwa Mb zang alafu bado mniambie nilipe 36000 kwa maisha haya mhhh bora tu achepuke
Application za kulipia zinakuaga na mda wa majaribio had mwaka mzima huezi amini kitu kabla hujakijaribu
Mnatakiwa muweke ofa kwanza ili watu waweze kuwa amini walau hata kwa wiki moja tu then ndio muendelee na ada zenu.
Mwanzo uliita smart app..Watu wakalipia ukapotea..hujatuma code yyte..sasa hiv unaiita ms tz..hakuna app za kulipana M-PESA kama ni mbunifu na una uhakika na app yko watu walipie kwa bando..
Pesa mbele bila hata kujua if t works or not. Toeni muda wa majaribio then tutalipa.
Ahaa 36000 kwenu ndogo bas subirini yesu arudi app gan bila majaribio eti tulipie
Subilini mm nitawatengenezea free hack app wala msisumbuke na hii
Ingekuwa vizuri kama mngekuwa mnatoa muda hata siku mbili bure ili kutuaminisha!
by Q####:
Hate