ElimuKwanza for Android
Don't waste your time installing this app it's a spam also no tech support one star for it
jamani mbona nimemaliza register nikibonyeza finish inakataa au naomba namba yenu nisaidieni mimi ndoninategemea hapo hapo jamani nisaidie nipate ufumbuzi
App haifungui kabisaa
Nice application
Jamani mbona namba inagoma na hiyo namba ni yangu kila kitu kinakubali kwenye registration lakini namba inagoma nikibonyeza finish haifunction inagoma jamani nisaidieni
Bad app
Kiukweli app hii imenisaidia sana hasa katika kuimprove in mathematics! Nawashukuru sana developers kwa kazi nzuri! Lakini ninaomba muongeze more topics and subjects including maths hususani kwa form four! Pia itakua vizuri zaidi kama app ingekua na uwezo wa kusave video kwa offline uses kwasababu sio kila mda mwanafunzi anakua na bandle!
Wow!!!!!! Tc amazing and am enjoying it coz t helps me a lot to prepare with my studies......!!!!
kwasabab gan nmejiregistared ikataa inasem "error occured make sure all space are filled" wakt spaac zot nmez jaza vizur sas inakuaj me siwaelewi Au n ya uongo ,,,,?? naomben Mnipe jib!!
Nimejirejista vizuri na code mmenitumia, kila ninapologin napata reply ya invalid password while ndo natumia kila siku, acheni ujanja wa kutumia mb za with, tunatumia hela hatupewi bure. Uninstalling.........
woh! I enjoyed this apps was very powerful in their performance of teaching us.especially physics big up.
Kiukweli app hii imenisaidia sana hasa katika kuimprove in mathematics! Nawashukuru sana developers kwa kazi nzuri! Lakini ninaomba muongeze more topics and subjects including maths hususani kwa form four! Pia itakua vizuri zaidi kama app ingekua na uwezo wa kusave video kwa offline uses kwasababu sio kila mda mwanafunzi anakua na bandle!
tunaomba topics ziongezwe pamoja na notes za masomo
But nielekeze jinsi ya kupata practical za science
Why Landry kapella don't send the code
Unfortunately ElimuKwanza has stopped
no notes available,
I tried to register it is not accepting. I did not even enter the code though it was sent to my email. Once done I can change the rating
Application ni nzuri lakini kwa watu wanaopenda somo la English language hawawezi kufaidika popote na hii app.Wekeni somo la kingereza
tatzo ni kwamba hats code haileti nimesubiri ndani ya dk.30 bila kitu....fanyeni mpango mrahisishe namna ya reg.
love it much
Nimeupenda sana hii app km zipo nyingine tueekeeni sio mpaka tuangaike wakati vitu vimelaisishwa na pia ongezen notes na matilio mengine humu sio ya form one tu.
Please add all the notes of each topic of each subject, that's what really matters to most students, the material for form 5 and 6 has to be increased , for example for biology, there is only cytology there, I'm sure this app will improve, concept is good, it works well also
I lyk it. Je, kuna materials za ICT pia?
Ninapoifungua Hii app. Natakiwa nijisajili inanikatalia na kusema passwords incorrect!! Wakati nimepatia...plz fix it!! I need this as student..plz..plz..
I like the app but we need more materials especially for advance. Plzz
nimesahau password ya akaunt yangu ya zaman najarbu kufungua mpya inagoma...msaada plz
But needs to reduce registration procedure
Nimeipenda jaman ila somo langu la economics na General studies sijaona vp
The app is ok though always telling me that I don't have an active enrollment and failed to get notes. How then can I do
Ts very nice app
I likeit
I like this apps thanks
This is awesome
Fix it!!!!
Topics za English paper one na two hazipo jamani ongezeni bhasi pia history ongezen topic kwa fom 6 ahsanteni mmetusaidia kidogo
Kazikwenu wanafunzi
I like it
How to find books??
by N####:
Isn't there a way ambayo unaweza kulipia kwa VODACOM.....AND OTHER LINES...Wengine hatuna TIGO...so please wekeni access to other lines....because it is boring this way.......alaf pia uploadini topics nyingine you are so slow